Yuko macho na dem zake who knows?
Mkuu picha kidogo tu itapendeza0302...richie spice marijuana pon de corner.. na msokoto wangu nachemsha mapafu, mkonon na glass ya valeur
ganja haramu kwa mujibu wa nchi ila halali kwangu, so sitaipost, kwahyo hamna pic na muziki upo unasikika, otherwise nitume video and its incovenient.Mkuu picha kidogo tu itapendeza
ganja haramu kwa mujibu wa nchi ila halali kwangu, so sitaipost, kwahyo hamna pic na muziki upo unasikika, otherwise nitume video and its incovenient.View attachment 1483814
Pamoja sana mkuu.
Ahsante sana.ganja haramu kwa mujibu wa nchi ila halali kwangu, so sitaipost, kwahyo hamna pic na muziki upo unasikika, otherwise nitume video and its incovenient.View attachment 1483814
Dah...kumbe ndiyo valuu hiyo...Asante mkuu..angalau umenifungua macho [emoji15]ganja haramu kwa mujibu wa nchi ila halali kwangu, so sitaipost, kwahyo hamna pic na muziki upo unasikika, otherwise nitume video and its incovenient.View attachment 1483814
mkuu jf is never a safe place... siwezi post pic ya kitu hakiruhusiwi huenda kikaja tumika as evidence huko mbele, watu wana uwezo wa kijasusi, ndo mana kuna umbea wako hujawahi kuuskia sehemu ila unajua watu hawajui teh teh.Ahsante sana.
Nilikuta nataka kuona oicha ya ganja na valeur kwa pamoja.
Nimeelewa.
Huo mchanganyiko si mchezo [emoji932][emoji932]
AmenHii mida ya wale wakongwe. Sio wale ngoma ya watoto haikeshi. Miliopo hapa mida hii pata kinywaji kwa bili yangu.
Nimekuelewa sana na nilikuwa nakuzingua tu.. Embu nipe huo umbea hata pm basi.mkuu jf is never a safe place... siwezi post pic ya kitu hakiruhusiwi huenda kikaja tumika as evidence huko mbele, watu wana uwezo wa kijasusi, ndo mana kuna umbea wako hujawahi kuuskia sehemu ila unajua watu hawajui teh teh.
majasusi= wambea. soo equivalent.
mkuu hapa nilipo valeur( ambayo ndo kinywaji changu ni 8000 tu bei ya mangi)... unailipaje!?Hii mida ya wale wakongwe. Sio wale ngoma ya watoto haikeshi. Miliopo hapa mida hii pata kinywaji kwa bili yangu.