JamiiForums Usiku wa manane

Eti X nyekundu,
Hiyo haina hata tone la mafuta, tena ikichanganywa na mwarobaini na pilipili kichaa unasahau kuhusu kitambi
Ila ujue kitambi flani kina mvuto wake wake bhana uwanjani, hasa kinapokua kinatikisika wakati wa kukimbilia mpira
Bila shaka mwenzetu wewe una hela kwahiyo my babyz wako wanakwambiaga "Baby I like that"

Hivi wimbo wa UNAIBIWA kaimba nani vile?
 
Bila shaka mwenzetu wewe una hela kwahiyo my babyz wako wanakwambiaga "Baby I like that"

Hivi wimbo wa UNAIBIWA kaimba nani vile?
Hahaha mimi hata niwe nashindia blueband na kitimoto siwezi kua na kitambi
Mimi huwa napenda kucheza na beki mwenye kakitambi flani, kile kipindi anapambana kuzuia lango ule mtikisiko wa kitambi chake hua unanisisimua sana (nimeandikiwa)
 
Hahaha sio kwangu tu huyu ni jirani mwaminifu wa dunia
Ni yeye pekee anayeweza kuwapenda jirani zake kama nafsi yake
Na kubwa zaidi atakunyima vyote lakini sio kukung'ata sikio pasipo unafiki
Hongera Neybright
Eeeh! Haya majirani...ngoja niwapishe mng'atane masikio

Sitaki ushahidi,ila siku my baby wako atakapokuja nitampa hii taarifa,kwa hiyo mjiandae kujibu
 
Back
Top Bottom