Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Hahaha alafu unalala na gwanda zako zote kama AfandeIla kula sebuleni tabu kweli kweli maana unakuwa wa mwisho kulala na wakwanza kuamka. Usiombe uwe ugenini ni noma

Hahaha alafu unalala na gwanda zako zote kama AfandeIla kula sebuleni tabu kweli kweli maana unakuwa wa mwisho kulala na wakwanza kuamka. Usiombe uwe ugenini ni noma

Kulala na bapa nikutesa roho kwa kweli, kwa upande wangu nisinge pata usingizi mpaka ni hakikishe imekwesha Kabisa.aaah mi nipo lakini si unajua mambo haya hapa! badae ntapotea tuu najua sitafika mbali! BAPA kalala mezani hapa
Hahaha imebaki supu ya nyongo ya mamba tu lakini, nikuwekee![]()
Naona hukuridhika ulivyonizimisha siku mbili kwa viroba....sasa wataka kunimalizia eeeh! Jirani yule ni mfano wa kuigwa hajawahi nidanganya hata siku mojaYule Neybright kamwongopea jirani yake,ndio maana alivyoniona tu nimekuja kaondoka bila kuaga maana alijua nitamsuta![]()
![]()

Yan unakuwa mlinzi.Hahaha alafu unalala na gwanda zako zote kama Afande![]()
Usinicheke.... uswahilini tunaishi kwa tabu wenzio
Kwa joto hili kwa kweli watanisamehe wacha tu nivae suti asilia....Hahaha alafu unalala na gwanda zako zote kama Afande![]()
Tulikuwa wawili kichwani ila sasa naona mwenzangu kanikimbia. Naomba nijumuike na popo wenzangu mpaka ku cheeee!
kabla ya kujumuika nasi,tafadhali twambie huyo mwenzio mliyekuwa naye kichwaniHahahaha basi bibie ngoja nikuchemshie utumbo wa mende kwa heshima kabisa, alafu pia ni dawa ya kuondoa uchovu kwa watu wanaoshinda kwa majirani wakiosha vyombo na kupika na nani hii...![]()
![]()
Naona hukuridhika ulivyonizimisha siku mbili kwa viroba....sasa wataka kunimalizia eeeh!
Shindwa na ulegeee!

Oooh! Kwahiyo amakuwa mmoja mwaminifu wako?Jirani yule ni mfano wa kuigwa hajawahi nidanganya hata siku moja![]()
Yani kiufupi namwamini jirani kwa sasa kuliko kitu chochote![]()
![]()

Huyo jamaa anaitwa samsonic a.k.a nyagi. Kinywaji pendwa kabisa![]()
![]()
kabla ya kujumuika nasi,tafadhali twambie huyo mwenzio mliyekuwa naye kichwani
Hahaha we sikuwezi kwa kweli, tafuta juisi ya machozi ya simba uondoe hiyo hangover, dirty head anataka kuleta balaa sasa.Kwa joto hili kwa kweli watanisamehe wacha tu nivae suti asilia....

Hahaha hakika jirani ni msema kweli aliyetukuka, aliyokua anayasema yote sasa nayaonaOooh! Kwahiyo amakuwa mmoja mwaminifu wako?![]()
![]()

Hahahaha basi bibie ngoja nikuchemshie utumbo wa mende kwa heshima kabisa, alafu pia ni dawa ya kuondoa uchovu kwa watu wanaoshinda kwa majirani wakiosha vyombo na kupika na nani hii...![]()
![]()
Hiyo supu itakuwa na mafuta mengi mno,naona unampango wa kuniongezea kitambi mpaka waniwekee X nyekundu ya bomoa

Vp nimkamate nimrudishe kwako? Maana naona yuko hapa jirani kabisa na mimi na hajielewielewiHuyo jamaa anaitwa samsonic a.k.a nyagi. Kinywaji pendwa kabisa

Machozi ya simba yupi? Huyuhuyu aliyeponea chupuchupu kupakatwa na wanamtibwa au mwingine?Hahaha we sikuwezi kwa kweli, tafuta juisi ya machozi ya simba uondoe hiyo hangover, dirty head anataka kuleta balaa sasa.
Na wewe upunguze kumendea offer![]()
![]()

Wkend imeishia mkuu. Majukum yanaanza muda si mrefuVp nimkamate nimrudishe kwako? Maana naona yuko hapa jirani kabisa na mimi na hajielewielewi![]()
![]()
Hahaha hakika jirani ni msema kweli aliyetukuka, aliyokua anayasema yote sasa nayaona![]()
![]()
Kwa hiyo imepitishwa rasmi kuwa Neybright ni mmoja mwaminifu wako?![]()
Hiyo supu itakuwa na mafuta mengi mno,naona unampango wa kuniongezea kitambi mpaka waniwekee X nyekundu ya bomoa
![]()
![]()

Wkend imeishia mkuu. Majukum yanaanza muda si mrefu
Haya bwana ngoja nimwache aende zake.....