Genecandy
JF-Expert Member
- Dec 13, 2017
- 492
- 884










dah nimecheka 9ht yote hii
Kwanza tambua kwamba mimi ni mkongwe, sijasoma hizi shule za mum and dad I'm going. Safari yenyewe tulitumia lori la shule STG. Hiyo namba ushawahi kuiona toka umezaliwa bwana mdogo?
Sent using Jamii Forums mobile app

enjoy mkuu
