Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,876
- 51,684
Mida mibaya hii...Saiz ndio kumekucha sasa![]()
Mida mibaya hii...Saiz ndio kumekucha sasa![]()
OkyNothing
Kwann?Mida mibaya hii...
Kalale mwananchi.0207![]()
![]()
Mida ya wanga hiiKwann?
Nakwako pia.Guys usiku mwema, kumekucha
Nakuachia silahaNakwako pia.
Nasikia bati lina cheza cheza sijui ndio anasikiliza atanikuta nipo kitandani naangalia movieMida ya wanga hii



Unaaga mashindanoGuys usiku mwema, kumekucha
Haya ww ziache na mm nitamuachia mwengine.Nakuachia silaha
Nasikia bati lina cheza cheza sijui ndio anasikiliza atanikuta nipo kitandani naangalia movie![]()
Huyo mkemee tu, tumia jina la yesu utanipa mrejeshoMzee mablanketi chapa mtu si yapo ya kumwaga pande hizo. Sanuka na la kwako upate joto lenye utamu ndani yakeBaridi la Mbeya![]()
Kuna askari amechomoka lindo acha na mimi nichomokeUnaaga mashindano
Namkaribisha tuangalie movie wote![]()
![]()
![]()
Huyo mkemee tu, tumia jina la yesu utanipa mrejesho


Kama usingizi hana sio kila siku kuwangia watu.Namkaribisha tuangalie movie woteKama usingizi hana sio kila siku kuwangia watu.

Leo umejitahidi sana. Naona ile morale imeanza kurudi.Namkaribisha tuangalie movie woteKama usingizi hana sio kila siku kuwangia watu.
Ushauri mbovu sana huu.Mzee mablanketi chapa mtu si yapo ya kumwaga pande hizo. Sanuka na la kwako upate joto lenye utamu ndani yake
Sent using Jamii Forums mobile app