Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Baridi inaondolewaje mzee. Au unataka mfanane kwa kuwa Hamida wako karudi chuo ndio maana full time uko hapa.Ushauri mbovu sana huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baridi inaondolewaje mzee. Au unataka mfanane kwa kuwa Hamida wako karudi chuo ndio maana full time uko hapa.Ushauri mbovu sana huu.



we ndio ulikimbia.Nishajua kwa nini uko hapa mida hii. Hamida karudi chuo. Ila umefaidika sana na COVID-19. Unatamani ilipuke upya.we ndio ulikimbia.
Maisha yangu yote sijawahi date na mwanachuo sasaBaridi inaondolewaje mzee. Au unataka mfanane kwa kuwa Hamida wako karudi chuo ndio maana full time uko hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app



Acha kumzingua mwana. Wacha ajichukulie blanket lake. Unafikiri hali ya hewa ya mbeya sawa na wewe wa Dar. Acha longolongo we mzeeMaisha yangu yote sijawahi date na mwanachuo sasa![]()
Dar mbona saiz kuna baridi kiasi chake.Acha kumzingua mwana. Wacha ajichukulie blanket lake. Unafikiri hali ya hewa ya mbeya sawa na wewe wa Dar. Acha longolongo we mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Baridi ya Dar unafananisha na mbeya? Kwanza unakujua mbeya au unabisha tu. Sio Matombo kule. Aladeen04 tafuta goma lako mzee.Dar mbona saiz kuna baridi kiasi chake.
Nilienda mwaka jana napajua kiasi chake.Baridi ya Dar unafananisha na mbeya? Kwanza unakujua mbeya au unabisha tu. Sio Matombo kule. Aladeen04 tafuta goma lako mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app

Slaughter...
It was never personal. 
What I'm about to do to your stubborn,
I'm gonna enjoy it...
Very very much.



Wa joto wao ndio walikuwa wakisema watu wa Mbeya.
Jiandae mwezi ujao twende. Tunachukua zetu Sauli hapo tunanyoosha. Halafu uzingue nakukata vitasaWa joto wao ndio walikuwa wakisema watu wa Mbeya.
Labda nikiwa free ndio twende lakini kama ndio ninakazi za watu ni noma kweli.Jiandae mwezi ujao twende. Tunachukua zetu Sauli hapo tunanyoosha. Halafu uzingue nakukata vitasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Chukua likizo kabisa. Hiyo timu itakuwa ndefu. Tutakwenda pia kutembelea maji yanayozunguka huko Kiwira, Tukuyu.Labda nikiwa free ndio twende lakini kama ndio ninakazi za watu ni noma kweli.
Team?Chukua likizo kabisa. Hiyo timu itakuwa ndefu. Tutakwenda pia kutembelea maji yanayozunguka huko Kiwira, Tukuyu.
Sent using Jamii Forums mobile app


Dar yenye nitaondoka muda sio mrefu nitachagua kuelekea Arusha au Dodoma mm ndio nitachagua wapi nianze sasa hiyo team natoa wapi mm 


Jukumu lako ni kuchukua likizo hayo mengine organizer atashughulika nayo.Team?Dar yenye nitaondoka muda sio mrefu nitachagua nitaelekea Arusha au Dodoma mm ndio nitachagua wapi nianze sasa hiyo team natoa wapi mm
![]()
Likizo hakuna naweza nisiwe hata na muda wa kusherehekea sikukuu zijazoJukumu lako ni kuchukua likizo hayo mengine organizer atashughulika nayo.
Sent using Jamii Forums mobile app

Unajua maisha ni haya haya. Ukitaka kujua namna watu wanakuthamini ukiwa mzima, ukifa tu na nafasi yako itapa mtu mwingine. Hivyo usipende kujionyesha wewe ndio kila kitu kwa organization.Likizo hakuna naweza nisiwe hata na muda wa kusherehekea sikukuu zijazo![]()
Kazi za watu alafu zinatakiwa on time ndio problem inapoanzia sasa Kwahiyo lazima uwajibike ukiwa nje ya muda.Unajua maisha ni haya haya. Ukitaka kujua namna watu wanakuthamini ukiwa mzima, ukifa tu na nafasi yako itapa mtu mwingine. Hivyo usipende kujionyesha wewe ndio kila kitu kwa organization.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukatia kuwajibika hata sisi vile vile tunawajibika kumeet deadlines. Lakini kupumzika kwa ajili ya ku clear mind ni muhimu sana ili kuleta ufanisi wa kazi.Kazi za watu alafu zinatakiwa on time ndio problem inapoanzia sasa Kwahiyo lazima uwajibike ukiwa nje ya muda.