JamiiForums Usiku wa manane
Duh! Nikiwa secondary tena o'level. A'level tulikwenda Manyara, Ngorongoro, na Tarangire.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah acha uwongo mzee hakuna sec yeyote inayoweza ruhusiwa kupanda mt Kilimanjaro jua hilo kwanza maana ule mlima unapanda kwa stage na kila stage inacamp ujapanda mlima Kilimanjaro ww Ngoja nilale bhana mm nimepanda sasa najua vizuri alafu kupanda mlima ule ni gharama asikuambie mtu nidanganye kwengine lakini sio Mt Kilimanjaro
 
Dah acha uwongo mzee hakuna sec yeyote inayoweza ruhusiwa kupanda mt Kilimanjaro jua hilo kwanza maana ule mlima unapanda kwa stage na kila stage inacamp ujapanda mlima Kilimanjaro ww Ngoja nilale bhana mm nimepanda sasa najua vizuri alafu kupanda mlima ule ni gharama asikuambie mtu nidanganye kwengine lakini sio Mt Kilimanjaro
Kwanza tambua kwamba mimi ni mkongwe, sijasoma hizi shule za mum and dad I'm going. Safari yenyewe tulitumia lori la shule STG. Hiyo namba ushawahi kuiona toka umezaliwa bwana mdogo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom