Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Nimejikuta tu imenitoka
Nimejikuta tu imenitoka
That's true. Na kumbuka pia ukiwa mwongo usiwe msahaulifu.Sasa hivi tunaweza kuwa naye kwa ID mpya. Lakini kupitia hayo tunajifunza kuwa makini kwa kila tunachokifanya mitandaoni. Internet never forgets, so kabla ya kuandika kitu ni busara kufikiri katika kila pembe.
Tulale jamani...kesho nikaazime ka boxer nitambe mjini binti wawatu
![]()
Yeah, ukichagua aina fulani ya maisha hata kama si ya kweli hakikisha una uwezo wa kuyaishi muda wote pasi na kuacha ya kutia shaka. Sasa shida huwa inakuja mtu unataka kuishi maisha ya aina tofauti kwa wakati mmoja na watu wakiconect dots, wanaona chenga so lazima wakulipue tu hakuna namna.That's true. Na kumbuka pia ukiwa mwongo usiwe msahaulifu.
Kutamba kwema mkuu, usisahau pia kutembelea tairi moja pekee..😀kesho nikaazime ka boxer nitambe mjini binti wawatu
![]()
Ila uongo nao ni kipajiYeah, ukichagua aina fulani ya maisha hata kama si ya kweli hakikisha una uwezo wa kuyaishi muda wote pasi na kuacha ya kutia shaka. Sasa shida huwa inakuja mtu unataka kuishi maisha ya aina tofauti kwa wakati mmoja na watu wakiconect dots, wanaona chenga so lazima wakulipue tu hakuna namna.
Wengine wanawahi starehe zao za ndoto nyevuNaona nyote mmelala, kuna mtu anakoroma kama pawatila...
Tunahamia kwenye herufi sasaNamba tushasoma miaka 5 saiz sijui itakuja slogan ipi!
Nili sign in mapema nikaenda kudoji konaAfadhali umekuja

, usingizi noma sanaAmenMkuu leo nimepitia hicho kitabu nimeuelewa sana mstari wa 11View attachment 1469057