Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Sasa nimuachie nani huko unachutama huku unasikiliza love song na kuchat pia

Sasa nimuachie nani huko unachutama huku unasikiliza love song na kuchat pia


Yako hiyo mzeeSio kweli kabisa![]()
Kwa hiyo jamaa 🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️ ID yake 😀😀😀. Watu wabaya sana😀 😀 😀 😀
Wakuu wa jf majasiri sijapata kuona, parabora alichakatwa kwa masaa machache lakini hadi sasa amebaki historia.
Kwema mkuu. Karibu kilingeniHabari ya hapa manightmares wenzangu
Kwema mkuu. Karibu kilingeni
Duh! 🙊🙊🙊Ulienda kunya
Pole aiseee mm nazipenda mnoMimi pikipiki huwa sina mzuka nazo kabisa, nilinusurika mara mbili, kuanzia hapo huwa natumia kwa machale sana.
Kweli kabisa unaweza ukala kabisaSasa nimuachie nani huko unachutama huku unasikiliza love song na kuchat pia![]()
NnDuh!![]()
Sio kula tu na kulala pia nyumba ni choo.Kweli kabisa unaweza ukala kabisa

Sasa hivi tunaweza kuwa naye kwa ID mpya. Lakini kupitia hayo tunajifunza kuwa makini kwa kila tunachokifanya mitandaoni. Internet never forgets, so kabla ya kuandika kitu ni busara kufikiri katika kila pembe.Kwa hiyo jamaa 🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️ ID yake 😀😀😀. Watu wabaya sana
Choo gunia ndio mlango ukioga majirani lazima wakuone usalimiane nao.

Asante aisee, but kila nikikumbuka katika matukio yote sikuumia hata kidogo ilhali pikipiki zilikuwa zinaharibuka vibaya ni wazi Mungu alikuwa ananipa nafasi nyingine.Pole aiseee mm nazipenda mno
Choo gunia ndio mlango ukioga majirani lazima wakuone usalimiane nao.


Asante aisee, but kila nikikumbuka katika matukio yote sikuumia hata kidogo ilhali pikipiki zilikuwa zinaharibuka vibaya ni wazi Mungu alikuwa ananipa nafasi nyingine.
Mkuu wewe ukiwa anaendesha mimi ntakachokifanya ni kukupungia mkono tu, hata lift sitotaka.![]()


kesho nikaazime ka boxer nitambe mjini binti wawatu