JamiiForums Usiku wa manane
Kwanini uliamua utumie ID hiyo with "Saint"?
nimeuliza hivi kwasababu nimeipenda
Nilijikuta tu nimeweka.

Natafuta kuwa na utakatifu...Kuna hatua natamani kufika
Sina sababu nyingine kubwa.
Mungu anasema katika zaburi kwamba watakatifu waliopo duniani hao ndio bora,hao ndio ninaopendezwa nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana
Ndiye msanii wa gospel ninayempenda.
Napenda nyimbo zake,nikiimba najisikia ujazo wa Roho mtakatifu

John lisu ananivutia kwa kila kitu..hata maisha yake binafsi
Hakika Mungu ana watu wazuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli usemalo. Ni miongoni mwa Tanzanian gospel singers ambao waliniinspire sana kuwa na maisha ya kiroho enzi za A level mpaka chuo. Bado Nina nyimbo zake nyingi sana especially za worship
 
Ni kweli usemalo. Nina miongoni mwa Tanzanian gospel singers ambao waliniinspire sana kuwa na maisha ya kiroho enzi za A level mpaka chuo. Bado Nina nyimbo zake nyingi sana especially za worship
Hata Mimi nampenda Sana
Napenda Sana worship songs kuliko nyimbo nyingine zozote.

Natamani nikutane naye siku moja nimwambie nampenda..yaani angeona jinsi nampenda.
Nimeimba Sana nyimbo zake shule Hadi nikawa naitwa mdogo wa John Lisu.
Nampenda Sana John Lisu..
Utukufu umrudie Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom