simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Mdogo wangu sijui nilikufanya nini hadi uwe against au kwa sababu huwa nakuambia ukweliKwahiyo hii ndiyo payback yangu sio

Mdogo wangu sijui nilikufanya nini hadi uwe against au kwa sababu huwa nakuambia ukweliKwahiyo hii ndiyo payback yangu sio

Nnamkumbusha tuDah kwahiyo ndio umeamua kunichalazia sio![]()

Yani sitaki hata kumsikiaMiss chiq, hope ule ushauri wangu kuhusu jambazi Super Villain uliufanyia kazi
Basi leo hii vita shinda ww maana kila siku huwa nakuwa mshindiMdogo wangu sijui nilikufanya nini hadi uwe against au kwa sababu huwa nakuambia ukweli![]()

ngoja ninyoshe mikono juu 
Naumiss kinoma yanHahahaha yani ule hatukulala
skuhizi naskia kelele za mbwa tuuuuDah ingekuwa Telegram ungeliweka hapo juu hili bangoNnamkumbusha tu![]()


sema ndio huku huwezi kuliweka tu.Powa kabisa manUko poa we mwanamke?
That's good kama uko poa.Powa kabisa man
Kuwa makini before its too late.usisemw hukuambiwaYani sitaki hata kumsikia


SawaaaBasi leo hii vita shinda ww maana kila siku huwa nakuwa mshindingoja ninyoshe mikono juu
![]()

Na za bwana pakaNaumiss kinoma yanskuhizi naskia kelele za mbwa tuuuu

Ahh wapi ww hata link za tele hunipiDah ingekuwa Telegram ungeliweka hapo juu hili bangosema ndio huku huwezi kuliweka tu.
Hawez shinda kirahisiBasi leo hii vita shinda ww maana kila siku huwa nakuwa mshindingoja ninyoshe mikono juu
![]()
Nakupaje link wakati ujawahi hata kujiunga.Ahh wapi ww hata link za tele hunipi
Huyo dogo achana nae.. maneno mengi sana af vitendo zero
Yani uko sahihi kabisaNa za bwana paka![]()