MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,452
- 69,332
I admire your courage Amigo.....Lindo jema wakuu.
Have a good night.
I admire your courage Amigo.....Lindo jema wakuu.
Hii gari sijawahi vutiwa nayo kabisa

Cheza cheza utajua tu lakini kucheza hilo game unatakiwa uwe smart sana lina changamsha sana akili.Nijulie wapi mzee, nafungwa hadi najionea huruma![]()
Hahahaha kaingia mitiniautoe nani mlipaji haonekani eti
Mpaka uione Live uso kwa macho, Ndio utaelew mzikiHii gari sijawahi vutiwa nayo kabisa![]()
Bugatti mm hapana kabisa hata wafanyaje hakuna chakunifanya niwenalo impress kabisa.
kapotea sema bado namiss ule mziki wa fiestani 2019Hahahaha kaingia mitini

Hii ni chiron au veyron
Mzee unapenda magari..
Weee mzee upo njemaBugatti mm hapana kabisa hata wafanyaje hakuna chakunifanya niwenalo impress kabisa.
Yap niko vyed kabisa, vp lakini uchovu umeisha?Weee mzee upo njema

Yah kaka, Hata Avatar kulikua kuna chuma moja Kali SanaMzee unapenda magari..
ChironHii ni chiron au veyron
Yap niko vyed kabisa, vp lakini uchovu umeisha?![]()








unahitaji matusi.. af niliwahi kulala nkachelewa kuamkaTafuta pesa uzipark za kutosha ili tuje kuomba kushow off nazo mjini
huu ugomvi kwani nani alianzisha? ww wakuniita muimba kaswida yuleunahitaji matusi.. af niliwahi kulala nkachelewa kuamka

Haya Haya KakaTafuta pesa uzipark za kutosha ili tuje kuomba kushow off nazo mjini
Si uliniita mkata viuno mwenye buti kubwa af mguu mdogo nkachukulia poa. Ina maana imekuuma sana kukupa sifa zako kakahuu ugomvi kwani nani alianzisha? ww wakuniita muimba kaswida yule![]()

Si uliniita mkata viuno mwenye buti kubwa af mguu mdogo nkachukulia poa. Ina maana imekuuma sana kukupa sifa zako kaka![]()
Kwahiyo ile sifa nzuri sio? Alafu baadaye useme mm ndio nimekuaribu na subira hiyo lawama.