Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Ulishawahi kulala na njaa ww

Ulishawahi kulala na njaa ww

Hiyo inakuwa ya lala salama.😀😀😀Alafu baadaye unakiamsha tena second time
![]()
Ndio screen shot kakaYani screenshots hii![]()




Kabisa yani unaosha mpaka na sufuria hiyoHiyo inakuwa ya lala salama.![]()


Nilinanihiwa yesPale mm nilikuwa nafuata maelezo tu na nyie mlitakiwa mfuate pia mbona niliona ulitagiwa![]()
Mbona simple
😂 😂 😂 😂 😂Kabisa yani unaosha mpaka na sufuria hiyo![]()
Mkuu mbona kwenye picha unaonekana kama unatusimanga, tumekosa nini kwani![]()


Hap nlikua napretend kumpiga mkwara Melo notifications anazinguaEti uliwahiwa yani unataka kunitengeneza mpaka mmNilinanihiwa yes


embu nipumzishe kwanza.
Yeah Kaka ni kisangaUlishawahi kulala na njaa ww![]()
Mkuu, boss melo alivyo na mwili mwembamba ukimkoromea si ataisha kabisa.😂😂😂😂
Poa dude, Uwe na Usiku mwema.Nhoja nilaze kichwa one time, huenda nikarudi mida mibovu. Ila nikipitiliza basi yote heri wakuu.
Yeah Kaka ni kisanga
Nlikua Nakula Alaf naskia Allah Akbar Allah Akbar
Nikala nikamaliza Alaf nikafunga
Nikasema Mungu mwenyewe anajua
Sent using Jamii Forums mobile app



Why urudi MkuuNhoja nilaze kichwa one time, huenda nikarudi mida mibovu. Ila nikipitiliza basi yote heri wakuu.
Mkuu, boss melo alivyo na mwili mwembamba ukimkoromea si ataisha kabisa.
Inabidi uongee nae kwa upole.



Eti uliwahiwa yani unataka kunitengeneza mpaka mmembu nipumzishe kwanza.
unataka nikuletee stor za kusimama kama mti



