Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
mm huyo ndio nimekufundishaUlinifundisha upuuzi..nilikuwa mwema tu

yani hii dhambi nasingiziwa kabisa.mm huyo ndio nimekufundishaUlinifundisha upuuzi..nilikuwa mwema tu

yani hii dhambi nasingiziwa kabisa.Na chiqutitta ukataka kumfundisha kwa soup 😂😂😂mm huyo ndio nimekufundishayani hii dhambi nasingiziwa kabisa.
Mdogo wetu nashindwa kutumia hii app siku ya 3 haina raha kabisaaaaaaaNgoja nikukabidhi kwa kamati ya roho mbaya japo ntawaambia wapunguze shurba Super Villain Goddess
Karucee unaamini haya manenoI'm one of your secret admirers..
i like how you think, hata wewe wajua how unique it is na hujawahi kosea the way you own it..
karibu
yo the best

Haiya mzee baba navaa barakoa😷😷 na kuangusha gari kabsaaUsingombanishe mm na chiqutitta ujue![]()
Usiku mnene bado.00:46
Bado usiku wa manane haujafika, sasa hivi ni usiku wa masita.
Mdogo wetu nashindwa kutumia hii app siku ya 3 haina raha kabisaaaaaaa
Hapa najitahidi kuotea
Kama crush ndo yule nitakuuua nmesemaNi wivu tu.. unaona kafaidi, ndo maana hufanani na my crush
![]()



Umemdanganya gal wa watu ww mzee wwHaiya mzee baba navaa barakoana kuangusha gari kabsaa

Browser najitahidi kuizoea ila najikuta napambana tapatalkAhh imebidi nizoee tu browser maana app huwa haitabiriki ase
Kama crush ndo yule nitakuuua nmesema![]()
mm sijui ww unacho sema mbonaUnajua @kerucee ni agemate wa aunt yangu ..asa nikimdanganya ntapata nn![]()

Siku hizi nishaizoea na notifications zipo faster..app hadi uone ni mtihani..slow vibaya mnoBrowser najitahidi kuizoea ila najikuta napambana tapatalk
Wachawi wanatamani wauroge huu uzi ila maana unawaharibia biashara, watu hawalali.Usiku mnene bado.
Ahh wapi labda km ni mtu tofauti na nnaekujua 😂