JamiiForums Usiku wa manane
Hakika. Maana kwa hadi sasa mtizamo wa watu wengi ni kupambana na maralia kwa kutumia dawa ilihali msabishi msambazaji wa maralia anachukuliwa poa. Nadhani kama isingekuwa usumbufu ambao mbu anatoa kwa binadamu basi vifo vitokanavyo na maralia vingekuwa vingi maana hizi kero zake ndo zinafanya angalau watu watumbuke nae kwa kiasi fulani.
Swaga za Wasiojua kutongoza.!

Eti Mada ya kuttokomeza malaria usiku huuu kweliiiii...!?
 
Swaga za Wasiojua kutongoza.!

Eti Mada ya kuttokomeza malaria usiku huuu kweliiiii...!?
Unajua sisi wenye mawazo kama haya ndo tunafanya nyinyi muinjoi maisha. Kwa mfano wewe ukipata maralia na una gemu mahali ina maana utakosa au uta perform chini ya kiwango. Sasa ili wewe usipate tabu hiyo inabidi sisi tuone ni namna gani maralia inatakomezwa.
 
Unajua sisi wenye mawazo kama haya ndo tunafanya nyinyi muinjoi maisha. Kwa mfano wewe ukipata maralia na una gemu mahali ina maana utakosa au uta perform chini ya kiwango. Sasa ili wewe usipate tabu hiyo inabidi sisi tuone ni namna gani maralia inatakomezwa.
Ni kweli mkuu hata papuchi inaogopa malaria
 
Back
Top Bottom