JamiiForums Usiku wa manane
Mkuu nilikuwa na GB whatsapp kabla anti's hazijatengenezwa, now natumia ya kawaida but kila nikidownload hazitaki kufunction. Naweza pata ipi ikafunction fully? Hii ya kawaida inanikera mbayaa
Zipo mbona mm natumia huu sijui ni mwaka wangapi wanapiga anti walifanikiwa nikatumia ile og week tu ilivyopita week nikarudisha nyingine hiyo ambayo imekuwa modern hufungiwi ndio niko nabadilisha na kuupdate tu kama kawaida.
 
Zipo mbona mm natumia huu sijui ni mwaka wangapi wanapiga anti walifanikiwa nikatumia ile og week tu ilivyopita week nikarudisha nyingine hiyo ambayo imekuwa modern hufungiwi ndio niko nabadilisha na kuupdate tu kama kawaida.
Nipe link niidownload maana kila nikidowload anti wakati wa kusajiri number yangu inagoma
 
Back
Top Bottom