JamiiForums Usiku wa manane
Si unatakiwa kwenda na status

Mimi kawaida yangu ilikuwa kule chini.. ila chips ngoma kule juu mara nyingi. Nilikuwa na jombaa ambaye bila ID au cafe hali ikabidi nipazoee cafe japo misosi ya ajabu kheri ID.nilichopendea ni juice ya rosella
Hahha mimi najitoa tu ufahamu nakaa zangu hapo nywele zimefumuka sijali nipo busy na ka simu kangu .

Juu wanaweza zaidi kupika Chipsi kuliko chini ndio ..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom