JamiiForums Usiku wa manane
Ww si ndo unaitumia af unajikuta bonge la spy kama cia sababu unaeza view status ya mtu bila yeye kujua 😂😂
Hii michezo kwani nafanya pekee yangu basi mbona wengi ww kama unataka kujua matumizi ya GB WhatsApp njoo nikupe hayo sio matumizi mbona bado lengo langu sio hilo umefeli kucheza hapo 😂😂😂😂😂
 
Hii michezo kwani nafanya pekee yangu basi mbona wengi ww kama unataka kujua matumizi ya GB WhatsApp njoo nikupe hayo sio matumizi mbona bado lengo langu sio hilo umefeli kucheza hapo 😂😂😂😂😂
Dogo unajikuta umefuzu course ya IT kwa kujua matumizi ya gb whattsap sio.. haya nakuja bobo tuongee zaidi 😂
 
Back
Top Bottom