JamiiForums Usiku wa manane
China pale mjini Wuhan ilikuwa hivi hivi kabla hawajagundua kuwa ni Corona ila huku pamoja na kugundua mapema ila watu wanafikia state ya kudondoka mabarabarani. Tatizo nini?
Kazi tunayo, kuna watakao sema ni mlevi. Ila ni pombe gani kali iliyoanza kupikwa majuzi hadi iwe inadondosha watu hivi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China pale mjini Wuhan ilikuwa hivi hivi kabla hawajagundua kuwa ni Corona ila huku pamoja na kugundua mapema ila watu wanafikia state ya kudondoka mabarabarani. Tatizo nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nadhani wakubwa wa nchi wanakosea mahali. Wanajaribu kufanya hali ionekane sio mbaya sana ilihali inakula kwa ndani. Ukipita mtaani unaweza kuona wananchi walivyo relax kwa sababu ya taarifa wanazolishwa.
Hata corona ipige, chukua hatua ili ijulikane kuwa ilipiga lakini hatua zilichukuliwa. Lakini ikipiga na tulikuwa tumekaa tu kama tunaangalia tamthilia ya Razia sultani, hata sisi wenyewe hatutokaa tujisamehe.
 
Back
Top Bottom