Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Wacha kumzingua Super Villain
Wacha kumzingua Super Villain
Amna hii nimoja ya zawadi yangu nimempa leoHuu ujumbe mzito huu mzee mwenzangu
Uliona gere mwenye hiyo yako sasa![]()
India Arie
Naacha kwa heshima yako ila leo umemtetea ghafla.. au zile vitu amekuhaidi kukupa saa hiiWacha kumzingua Super Villain
Kabila lao wabishi kinoma. Hizo ni genes zao😂😂😂 huyu dogo jeuri sana .. ukiemda nae soft utafeli
Nakuunga mkono hayupo. Cha muhimu hakikisha uvungu unatosha![]()




Simiss kawatengenezeeni picha ya uwongo mnajua sijui ni nn simissTena sie huku kuimba wala hatutumii nguvu,huku tukisindikiza na Urojo line kutoka visiwa vya shelisheliEwaa tutapiga za muchachacho kama zote



Kwann embu nyosha maelezo.Kabila lao wabishi kinoma. Hizo ni genes zao
Unajua mwenye sasa mnamjua huyo newcomerMimi niongope ili nipate nn![]()


umefanya uwongo kuwa ukweli umefanikiwa kwa hili.Hata gari likija kwa kasi wao huwa wanaona wana haki ya kutumia zaidi barabara..wabishi hadi kuvuka chap chap mwisho wa siku ni vifo tu





Dah nyie wana mmejua kujifurahisha leo 