simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Hajaniteka na hawezi kuniteka ila kuna kipaji chake huyo mtu wa mindu
😂😂😂 si aliniambia katokea zimbu
Hajaniteka na hawezi kuniteka ila kuna kipaji chake huyo mtu wa mindu
Oya mbona kama mnasuka mission flani ya kunizunguka namna flani hivi. Siwasomi kabisa hapo 😡😡😡naona umenificha white na unataka mm nipindue meza sio![]()
Nipe mbinu mbadala 🤣🤣
Oya mbona kama mnasuka mission flani ya kunizunguka namna flani hivi. Siwasomi kabisa hapo 😡😡😡
Andia Arie- Purify me
Huyu mzee ni mtata sana alinipa ahadi ya kitu fulani naona jana kani badilika ghafla saiz ananiambia haiwezekaniOya mbona kama mnasuka mission flani ya kunizunguka namna flani hivi. Siwasomi kabisa hapo![]()



mchongo mchongo eti dah simissTatizo amekwishaizoea ile newcomer kiasi kwamba haimpi furaha. Ameshamchoka anataka asepe ila si unajua hana pa kwenda?Huyu dogo huwa hasumbui siku akiwa na mood nzuri.. hicho ndo kitonga..komaa nacho

Em angalia hili jina Mnazareth .. ukijitia jeuri nakuwa myahudi af nakusulubisha tu.. pindua uone



Dah haya mzee wangu umeshinda ww.Alikuchota huyo kwao mgeta na bahari ya mindu😂😂😂 si aliniambia katokea zimbu
Mgeta bhasi Super Villain officcially mluguruAlikuchota huyo kwao mgeta na bahari ya mindu
Tatizo amekwishaizoea ile newcomer kiasi kwamba haimpi furaha. Ameshamchoka anataka asepe ila si unajua hana pa kwenda?



LohAwwwAlikuchota huyo kwao mgeta na bahari ya mindu




mmefeli nyote nyieTatizo amekwishaizoea ile newcomer kiasi kwamba haimpi furaha. Ameshamchoka anataka asepe ila si unajua hana pa kwenda?