JamiiForums Usiku wa manane
Dah...Kama huna mchongo wowote Bora kujilockup tu wimbi lipite....nunua dagaa wako wakavu na kiroba cha unga..mengine ni kujiongeza tu....Usisahau ni mlo mmoja kwa siku.....

Sent using Beretta ARX160
🤣🤣🤣🤣mlo moja PA day nao mpak uzoe kama ulikuwa mlafi unashushia na kabia ni hatare mzee 😁😁😁
 
Mzee Corona isikutingishie cha muhimu ni kuchukua tahadhari tu. Others life lazima lisonge kama kawa
Dah...tahadhari ni muhimu sana...ila kama huna ishu ni Bora ukajifungia tu...maana wengine kwenye mazishi yetu historia itakuwa na mistari mitatu tu....
Alizaliwa...
Akafariki...
Na hajaacha chochote


Sent using Beretta ARX160
 
Back
Top Bottom