Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Hahaha sawa asante. Nikikuita Jasmine Dubois hutaki!Ma kweli ni ghafla sema karibu tena huey
Hahaha sawa asante. Nikikuita Jasmine Dubois hutaki!Ma kweli ni ghafla sema karibu tena huey
Si unajua mi hunitishisema kazi unafanya kwa weledii naomba nilete ma file mapyaaaaa mwenyekiti


We mwanamke ni mtata sana.Sijaelewa hapa kwani Goddess ni nani kwenye chama mng'ato na Super Villain?We mwanamke ni mtata sana.
Wewe haikutesi ila unaombea iendelee at least miezi kadhaa mbele ili ufaidi zaidi. Unaombea pia vyuo visifunguliwe. Kweli muhuni sio mtu mzuri


Kuna watu wamekuja na suruali mbili tu sasa chuo kisipofunguliwa si balaaIla wewe unaombea vyuo visifunguliwe kabisa. Ila umesikia kauli ya Mwanri?Hakika wanachama lazima wafurahi kipindi hiki
Siewz kataa kabisaaaHahaha sawa asante. Nikikuita Jasmine Dubois hutaki!
Aaah muheshmiwa taratibuuWe mwanamke ni mtata sana.
😂😂😂😂
Ni yeyeeeeeeAaah muheshmiwa taratibuu
kesho unajua wapi pakunipata nakusubiria nazani leo siku haikutosha kabisa.Secretary secta 1 muhimu zingine hazinihusu


simiss kakimbiaSecretary secta 1 muhimu zingine hazinihusu![]()



kapindua meza alafu mbio dah kesho lazima utoe maelezo yakina.Ni yeyeeeeeekesho unajua wapi pakunipata nakusubiria nazani leo siku haikutosha kabisa.
safari hii lazma tutumie upepo kuzima motoooo sio maji tenaNaam katibu na hio sector ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa taifa letu na itabidi utangulize uzalendo mbele.Secretary secta 1 muhimu zingine hazinihusu![]()
Huyo si kawaida yake hapo yupo kule anasaka nanii na yeye
safari hii lazma tutumie upepo kuzima motoooo sio maji tena





Tutaita hata ambulance ikiwezekana.Kwako pia katibuNaam katibu na hio sector ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa taifa letu na itabidi utangulize uzalendo mbele.
Nakutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako.