Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,586
- 81,551
Hahaha sawa asante. Nikikuita Jasmine Dubois hutaki!Ma kweli ni ghafla sema karibu tena huey
Hahaha sawa asante. Nikikuita Jasmine Dubois hutaki!Ma kweli ni ghafla sema karibu tena huey
[emoji23][emoji23][emoji23] We mwanamke ni mtata sana.Si unajua mi hunitishi[emoji23] sema kazi unafanya kwa weledii naomba nilete ma file mapyaaaaa mwenyekiti
Sijaelewa hapa kwani Goddess ni nani kwenye chama mng'ato na Super Villain?[emoji23][emoji23][emoji23] We mwanamke ni mtata sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu wamekuja na suruali mbili tu sasa chuo kisipofunguliwa si balaaWewe haikutesi ila unaombea iendelee at least miezi kadhaa mbele ili ufaidi zaidi. Unaombea pia vyuo visifunguliwe. Kweli muhuni sio mtu mzuri
Ila wewe unaombea vyuo visifunguliwe kabisa. Ila umesikia kauli ya Mwanri?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hakika wanachama lazima wafurahi kipindi hiki
Ni secretary wangu huyo [emoji23][emoji23][emoji23] Goddess
Siewz kataa kabisaaaHahaha sawa asante. Nikikuita Jasmine Dubois hutaki!
Aaah muheshmiwa taratibuu[emoji23][emoji23][emoji23] We mwanamke ni mtata sana.
Ni yeyeeeeee [emoji23] kesho unajua wapi pakunipata nakusubiria nazani leo siku haikutosha kabisa.Aaah muheshmiwa taratibuu
simiss kakimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapindua meza alafu mbio dah kesho lazima utoe maelezo yakina.Secretary secta 1 muhimu zingine hazinihusu[emoji23][emoji23]
[emoji23] safari hii lazma tutumie upepo kuzima motoooo sio maji tenaNi yeyeeeeee [emoji23] kesho unajua wapi pakunipata nakusubiria nazani leo siku haikutosha kabisa.
Naam katibu na hio sector ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa taifa letu na itabidi utangulize uzalendo mbele.Secretary secta 1 muhimu zingine hazinihusu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tutaita hata ambulance ikiwezekana.[emoji23] safari hii lazma tutumie upepo kuzima motoooo sio maji tena
Kwako pia katibuNaam katibu na hio sector ni muhimu sana kwa maendeleo ya taifa taifa letu na itabidi utangulize uzalendo mbele.
Nakutakia utekelezaji mwema wa majukumu yako.