Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Yaani vitu vyako vya hatari hatari..ulifaa kukaa jeshini tu
nilisahau bwana 


Yaani vitu vyako vya hatari hatari..ulifaa kukaa jeshini tu
nilisahau bwana 


Nimekupa faida hii leo, ichukue.Aaah hili jipya sikua nafahamu
Nishaichukua yani hili jipya kabisaaaNimekupa faida hii leo, ichukue.
Super Villain mzee wa newcomer please jongea kipande hii. Kuna ka meseji kako kanukusubiriEbu muite aje nimpe taarifa
Newcomer ni nn etiSuper Villain mzee wa newcomer please jongea kipande hii. Kuna ka meseji kako kanukusubiri


Hizi sikukuu nyingine hazipo serious, na hii corona yote lakini bado imeamua kuangukia weekendHeri ya Siku ya Muungano wapendwa.
😂😂😂 mkuu Haifungiki huku ni kijiwe cha usiku kwa ajili ya sisi tuliopewa jukumu la kuangalia usalama wa raia na mali zao. Kule mida ya mchana hivi basi mambo burdani kabisa. Karibu sana mkuu.Nimeshangaa kukuona huko
Tunakusubiri mkuu.Narudi....
Kazi nyingine ya "al Qasus" nakuja kukupa sasa hivi.Nishaichukua yani hili jipya kabisaaa
Noma sanaWatu weusi 😂😂😂
Hili jina tulimpa alipokuja kujiunga chuo maana Super Villain alikuja na mzinga wa nyuki 😂😂😂Newcomer ni nn eti![]()
Mkuu taratibu basi, hadi unipeperushie ndege wangu 😂😂Unataka kuvifanyia nini mjini kama sio kuwinda binadamu.
nilisahau bwana
![]()
Naisubiri kwa hamu nonoKazi nyingine ya "al Qasus" nakuja kukupa sasa hivi.



chuo cha fix na maneno 100

chuo cha fix na maneno 100Inakupa hamu ya kula.Naisubiri kwa hamu nono![]()
Sema taratibu kama sijaanza kukuita naniiUnafaa kwa asilimia zote.. wewe tu
