I'm glad to hear thatSana. Ndio maana naburudika sana unapozitupiaga humu moja moja
Vp ulikuwa na siku njema lakini?I'm glad to hear that
Hahahahalile la kipepe unalijua?
la 2001 hiloVp ulikuwa na siku njema lakini?
Swadakta!!Hahahahala 2001 hilo
Swadakta!!
bora nitafute machete aiseeNashukuru kwa uzima niliojaaliwa mkuuNdio namshukuru Mungu vipi wewe
🙏🏽🙏🏽
Bado tunakeshaUsiku wa matano..
Ninauzoefu wa kutengeneza manati ya mipira aina zote. Pia vipago vyake vinakuwa vya ile miti migumu kabisa. Kwa hiyo products zangu ni alitumia babu hadi mjukuu.Manati ile kubwa yakuulia jorowe
Naweka order kwa kweli ila mpira wa manati uwe mwenkundu
SawaNinauzoefu wa kutengeneza manati ya mipira aina zote. Pia vipago vyake vinakuwa vya ile miti migumu kabisa. Kwa hiyo products zangu ni alitumia babu hadi mjukuu.
I see. Eti why did they put him near the mouth. Binadamu tuna nongwa sanaWabongo
Mkuu Haifungiki karibu lindoni. Tuliendeleze.Bado tunakesha