The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,582
- 7,242
Poa asubuhi njema wadau
Limeisha hili maelekezo lazima nichukue.
Limeisha hili maelekezo lazima nichukue.
NakuthubiriMate mpaka yamedondoka
I love you to the moon and back![]()


Jet ni jet li auUsinifanyie hivyo ujue nakuanchia tu hili 10 la kwanza la 2 nipo Jet hapo anadaa vitu![]()
Daku ndo naikula hapa bwana ww njoo
Dogo msumbufu sana.. ujumbe upo kule chimbo




Hivi mm na ww nani msumbufu kwanza.Ww umechelewa kuja kmkesha etiDaahhh nshaikosa ..una hila sana ww![]()
Pale kuna mataaa tu na barabara za ku actia mzeeHuyo huyo![]()
Hata iftari hukunikaribisha. Sasa hapo umefunga nini kama hupati thawabu za kufuturishaWw umechelewa kuja kmkesha eti
Hivi mm na ww nani msumbufu kwanza.
Tulia akuambukize ile tabia alioniambukiza mm ndo utakaa sawaWewe bila shaka af ukaniambukiza mimi
Hata iftari hukunikaribisha. Sasa hapo umefunga nini kama hupati thawabu za kufuturisha
mikusanyiko jaman corona ndo kama hii Utaikuta kwenye kibanda cha trafiki pale nikisaidia kupunguza foleni.Pale kuna mataaa tu na barabara za ku actia mzee
Sio kwa yule mama muuza mitumbaUtaikuta kwenye kibanda cha trafiki pale nikisaidia kupunguza foleni.
