Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Naona umeanza fitnah tayari.Inatoka wapi hiyo shida wakati umechangamkia fursa mzee wangu.
Kwa hiyo wanaona bora wafeTiba ya asili hii watu weupe hawaitaki
Kwann sasa mbona ujiamini mamii tunaweza kutapata hela kwa wahisani tukaingia hapo Philippines hapo tukaedit baadhi ya vitualafu ukashiriki miss world hiyo.








Ongea kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni
Naona umeanza fitnah tayari.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk


Zengwe wanafanyaga watu wa Yanga tuHapa tuna msubiria Mjapani tu ndio anamatumaini ya chanjo.Kwa hiyo wanaona bora wafe



Kwahiyo mwendo wako ni wakijeshi sio?Nitakuja kufunga lindo baadae.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk


Umeshatepeta nenda ukale chakula cha usiku saizUngesikia nilivyoiongea hiyo ungelegeaOngea kwa sauti ya kumtoa nyoka pangoni

ha ha ha na sisi tunafanya nini mkuuHapa tuna msubiria Mjapani tu ndio anamatumaini ya chanjo.
Dogo
Nitasogea karibu nisikie vizuri


Dah hili ni tatizo siutatoaka vigimbi sasa 
Mjapna kanichosha ananiambia mpaka September atakuwa amezalisha 1 Million vaccines.ha ha ha na sisi tunafanya nini mkuu
Inaanza kutumika liniMjapna kanichosha ananiambia mpaka September atakuwa amezalisha 1 Million vaccines.