simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Kwani mm nakosa gani hapo mwambie alifanya haya mambo hapa.
😂😂😂😷😷😷😷😷 nakoronica mzee
Kwani mm nakosa gani hapo mwambie alifanya haya mambo hapa.
Inamaana uko safe sana kunizidi mm sio bora nisionge kabisa hapanakoronica mzee

Uko poa we mama?00:56hrs
sasa hao wanahusika na nn tena mzee wangu dah nimeishi
![]()
Hutonipata siku hiyo nakuweka ignore tuUtaelewa tu siku enyewe.. kazi zinakushinda mzee



Na kwako pia miss chiqutittaMbarikiwe nyote
Mbarikiwe nyote
Haya kama vipi nimlete bro aje tufunge turubai hapo maskani basi au nije mwenye kama vipiyeap kesho kutwa nayo ni siku champ





Ee stress ina athari kubwa kuanzia kwenye afya ya mtu na mwili mzima kiujumla.Hivi kumbe stress zinaweza kumsababishia madhara makubwa sana mtu kuliko anayoweza kusababisha anopheles?
Stress was killing me slowly aiseeEe stress ina athari kubwa kuanzia kwenye afya ya mtu na mwili mzima kiujumla.