Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,413
Yes, ni Fibonacci huyo 😂Hii ndo miguu ya mathematician
Mkuu hebu tohoa kidogo nikionaga hii lugha nalewa kama nimekunywa yokozuni.Si unajua tena walimu wangu waliugua mafua kwa hiyo walikuwa hawaji skuli



Mi naenda kulala...![]()
Ana calculate nn muda huuYes, ni Fibonacci huyo![]()
Wakiamua watakuganda mpaka uoeMie sioi, mnipitie mbali.
Kufa kwa hakika mtakufaKulala ni kuigiza kufa mzee.
Ina maana leo hulali hata tone? Au upo kwenye majukumu na utalala mchana?0415