Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,961
Nakuja, naenda dukani Mara mojaNipo kabisaa
Nakuja, naenda dukani Mara mojaNipo kabisaa
HahahahaKuwa lindo kuna faida kuu nyingi,mojawapo ni pale adui kifo anapokuja kukutembelea, ukiwa lindo ni rahisi kupambana naye kwa mangumi,mateke na silaha mlizonazo. Ila kwa wale ambao wako usingizini ni rahisi kuzidiwa kwa sababu wanakuwa hawajajiandaa kwa mapambano.
kwa hiyo mkuu hakuna kukimbia,ukitaka kuishi miaka mingi kaa lindoHahahaha
Kalale salama kabisa ulinzi upoKuwa lindo kuna faida kuu nyingi,mojawapo ni pale adui kifo anapokuja kukutembelea, ukiwa lindo ni rahisi kupambana naye kwa mangumi,mateke na silaha mlizonazo. Ila kwa wale ambao wako usingizini ni rahisi kuzidiwa kwa sababu wanakuwa hawajajiandaa kwa mapambano.
Hii theory babkubwakwa hiyo mkuu hakuna kukimbia,ukitaka kuishi miaka mingi kaa lindo
Sawa mkuu naenda kujiegesha tuKalale salama kabisa ulinzi upo
Duka gani hilo saa hizi? Ukiskia kuibiwa ndio hukuNakuja, naenda dukani Mara moja
Mbaya zaidi wasije wakakuita mchawi,kwa sababu utakuwa na macho mekundu (sababu ya usingizi)Hii theory babkubwa
Hahahaha unawaambia ni CoronaMbaya zaidi wasije wakakuita mchawi,kwa sababu utakuwa na macho mekundu (sababu ya usingizi)
Kwa Mangi pale nje pa siku ile ulipogeuzia gariDuka gani hilo saa hizi? Ukiskia kuibiwa ndio huku
Umejua kunitengenezaKwa Mangi pale nje pa siku ile ulipogeuzia gari
😀😀😀Mpumzike lindo siku moja moja
TuKàlale bwana