JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Upo nje ya nchi ww acha sisi tupambane na corona saiz kwanza mask tu box ni 100k...
Unaona jinsi unavyo ninyanyapaa kijiografia. Yaani ushadumbukiza mambo karibia ma3 ili tu unibanie namba. Kwanza nipo nje, pili Corona, tatu mask. Haya yanauhusiano gani na ombi langu? Sikuwezi mzee.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Unaona jinsi unavyo ninyanyapaa kijiografia. Yaani ushadumbukiza mambo karibia ma3 ili tu unibanie namba. Kwanza nipo nje, pili Corona, tatu mask. Haya yanauhusiano gani na ombi langu? Sikuwezi mzee.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We unajua ni namba kweli nimempa embu muulize vizuri simiss
 
Back
Top Bottom