Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Sometimes inapendeza ukikubaliana na hali halisi ingawa hata kwa kiunyonge mzeeDah haya wazee kama mmeamua hivyo.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Sometimes inapendeza ukikubaliana na hali halisi ingawa hata kwa kiunyonge mzeeDah haya wazee kama mmeamua hivyo.
Kwa hiyo hujawahi kuuza mechi?Dah sina majibu kabisa hapa kwa kweli huyo mwana ni muongo sana usimsikilize kabisa![]()
Kalale mzee.Walinzi..ngoja nilaze gari..kesho kutwa nayo ni siku.. nice night
Hahahaha, tusio na magari ,tunafanyajeWalinzi..ngoja nilaze gari..kesho kutwa nayo ni siku.. nice night
Hiyo experience utaipatia wapi? What I do believe ni kwamba kila kitu kina mwanzo na mwisho. Ukiona umedanji huo ndio mwisho wako. Believe me or not maisha ni haya haya. Hivyo ukipata nafasi kula bata la kutosha tu.Yes mzee mimi naamini kwa sir God
Pia naamini watu wakubwa walijua ni nini wanataka kufanya from the start au katikati ya kwenye process zao za kujitafuta...mwishoni wakastick nacho
Kwenye kuishi kutokana na purpose hapo naona kuna uzito maana kuna wanaojijua abilities zao na kuna wengine hadi mtu wa nje awaambie... so ni mapicha picha tu labda nikipata zaidi experience nitajua zaidi
Sijawahi kabisaKwa hiyo hujawahi kuuza mechi?
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Gros bisousBisou bisou
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Mzee usiji downgrade you never know.Hahaha, mkuu haya maisha acha yaende hivi hivi.
Hizi zawadi si za kwangu.
Hahahaha, tusio na magari ,tunafanyaje
Matatizo ya macho yanasababu mbalimbali. Mwingine akisoma mishipa ya kichwa kama inataka kupasuka. Na pia kama hivyo ulivyoelezea kwako. Kuacha maana yake tatizo linazidi kukua. Ila wabongo ni wabishi sana kwenye kufuata tiba. Unaweza ona uko fit ila fainali uzeeni. Huwa naheshimu sana ushauri wa watalaamuHapana mzee..mimi tatizo lilikuwa mwanga zaidi yaani jicho halichuji mwanga unaingia kama wote, nilivaa mwaka then nkaanza kuitumia wakati maalumu labda kusomea vitu ila baada ya hapo nkawa naacha hadi saa hii nipo normal kiasi..japo huwa yanauma rarely
Hiyo experience utaipatia wapi? What I do believe ni kwamba kila kitu kina mwanzo na mwisho. Ukiona umedanji huo ndio mwisho wako. Believe me or not maisha ni haya haya. Hivyo ukipata nafasi kula bata la kutosha tu.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Matatizo ya macho yanasababu mbalimbali. Mwingine akisoma mishipa ya kichwa kama inataka kupasuka. Na pia kama hivyo ulivyoelezea kwako. Kuacha maana yake tatizo linazidi kukua. Ila wabongo ni wabishi sana kwenye kufuata tiba. Unaweza ona uko fit ila fainali uzeeni. Huwa naheshimu sana ushauri wa watalaamu
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Ana inferiority complex ila naamini haniwezi kabisa mimi mtoto wa mjini. Mbinu zote nazijua dadadeki.Hope haitokucost champ... cheza karata fresh
Sometimes ananikaziaga ile ile huyu mchizi.Daahh Super Villain ..kunjua moyo
Pamoja sanaWalinzi..ngoja nilaze gari..kesho kutwa nayo ni siku.. nice night
Duh! Anyway ngoja nichune tu.Sijawahi kabisa
Upo nje ya nchi ww acha sisi tupambane na corona saiz kwanza mask tu box ni 100k...Sometimes ananikaziaga ile ile huyu mchizi.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
True thatsawq bro.. saa hii macho mazito
Cha msingi kila mtu afanye kinachompa satisfaction na fullfillment...
Huu ni ukweli kabisa hakuna uwongo hapo.Duh! Anyway ngoja nichune tu.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk