JamiiForums Usiku wa manane
Kaka mkubwa ulitakiwa uwe2na stock ya kutosha hasa kipindi hiki cha COVID-19. Unatakiwa kuwa na bapa hata 3 hadi 5 zitasaidia sana nyakati kama hizi. Pole mkuu I feel you.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Shukrani sana Brother, ilikua technical error Jana niliamini nitatoboa ili mchana nikitoka kazini ndio nichukue, kuna super market wanauza pombe kwa bei nzuri sana, nadhani owner ni mwanachama mwenzetu aisee, bapa kubwa anauza 7,000 tu
 
Shukrani sana Brother, ilikua technical error Jana niliamini nitatoboa ili mchana nikitoka kazini ndio nichukue, kuna super market wanauza pombe kwa bei nzuri sana, nadhani owner ni mwanachama mwenzetu aisee, bapa kubwa anauza 7,000 tu
Pole sana mkuu sisi ambao tunakesha usiku huu amini kwamba tupo pamoja na wewe katika janga hilo. Ingawa kwa upande wangu nina stock yangu nashusha taratiibu. Hadi kisanuke.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Shukrani sana Brother, ilikua technical error Jana niliamini nitatoboa ili mchana nikitoka kazini ndio nichukue, kuna super market wanauza pombe kwa bei nzuri sana, nadhani owner ni mwanachama mwenzetu aisee, bapa kubwa anauza 7,000 tu
Tafadhali sana nakuomba kwa heshima kabisa uni PM jina la Supermarket. Am serious Brother #HayaMaisha ujue #Quarantine kinyonge sio poa.

Cheers

Sent using NASA Satellites
 
Back
Top Bottom