God is Dead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,313
- 1,531
Mbona huku kwetu linawaka jua la jangwani?ndyo unaamka mkuu, kama una wenge hivii,hahaa
hizi mvua si mchezo tangu mornie aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huku kwetu linawaka jua la jangwani?ndyo unaamka mkuu, kama una wenge hivii,hahaa
hizi mvua si mchezo tangu mornie aisee
Ndio" nililala mida ya saa kumi hivi, mwenyewe nilipanga kwenye saa 4 hivi nitoke" laahaulaa!! Eti ndo nimeamka sasa!!ndyo unaamka mkuu, kama una wenge hivii,hahaa
hizi mvua si mchezo tangu mornie aisee
we mzee ni nn ile sasa kama sio pombe 😆 😆
hahaa polee ila usiku saa 4 ulitaka utoke uende wapi jamani.?Ndio" nililala mida ya saa kumi hivi, mwenyewe nilipanga kwenye saa 4 hivi nitoke" laahaulaa!! Eti ndo nimeamka sasa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
jangwani wapi hiyo hii hii ya Dar?, huku kwetu mvua tangu jana/juzi usikuu
mrembo unakaa jangwani?jangwani wapi hiyo hii hii ya Dar?, huku kwetu mvua tangu jana/juzi usikuu
Na kwako pia.usiku mwema wakuu, najiachiaa
ahsantee, nyie bado mpo? pumzikeni wakuuNa kwako pia.
mm nipo nawalinda wote waliolala hofu ya kuibiwa ondoa kabisa.ahsantee, nyie bado mpo? pumzikeni wakuu
usiku mwema wakuu, najiachiaa
Sasa nishamuahidi aje kusherekea Easter Monday home, itakua si vizuri kucancel, kama njooni wote😀Ngoja usindoke, kuna jamaa alikuahidi kuja na sanitizer,
Mimi naomba nikukarantini mwenyewe kwa gharama zangu"
Akija akute upo karantini alegee na ashindwe kuingia"
Waonaje mumy!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wooooote tena!!?Sasa nishamuahidi aje kusherekea Easter Monday home, itakua si vizuri kucancel, kama njooni wote![]()
Kahumba moro
Tulia tu na movieAhhha. Nikajua ni hapa mjini" kuchelewa kuamka mpaka nimepoteza ramani kbsa!
Sijui hata niende wapi mida hii!?
Sent using Jamii Forums mobile app