mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,495
Wapi umesema kama utaleta maelekezo?Ndio,mbona umepaniki mapema kwani kuna maelekezo yoyote umeshapata tayari?
Wapi umesema kama utaleta maelekezo?Ndio,mbona umepaniki mapema kwani kuna maelekezo yoyote umeshapata tayari?
Amepagawa. Usiku si wake huyu. Hajui alitendaloNdio,mbona umepaniki mapema kwani kuna maelekezo yoyote umeshapata tayari?
Hukuona hio comment mkuu,au umeanza kutumia bila kupewa maelekezo ?Wapi umesema kama utaleta maelekezo?
Chukua kipande cha soap na ufuate maelekezo ya namna ya kutafuta usingizi mkuu.
Hahah kwa uzoefu wangu mjomba nae atakua ni member konki maana amejua anachotaka kuambiwa kabla.


mzoefu kabisa huyu ame pre'-empty hitaji husika. Ila nenda nae polepole atakuelewa. Si unajua mara ya kwanza lazima ukaze. Hahah pole sana mkuu,tukisema tuwaletee Air Tanzania uko tayari?Mkuu huku hali ni tete. Kibao kimegeuka kwamba sisi ndio waleta Corona. Noma sana.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Unahitaji mundu au gobole?
Labda iwe imevaa maskHahah pole sana mkuu,tukisema tuwaletee Air Tanzania uko tayari?


. Otherwise itaondoka na virusiHahah ataelewa tu,kuna wenzake walikuja kama yeye ila kwa sasa wamekua ndio ma associate professors.Amepagawa. Usiku si wake huyu. Hajui alitendalo
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
We umeshawahi fanya jambo lolote bila maelekezo?Hukuona hio comment mkuu,au umeanza kutumia bila kupewa maelekezo ?
Hahah atakimbia jukwaa hili kwa hio comment yako.mzoefu kabisa huyu ame pre'-empty hitaji husika. Ila nenda nae polepole atakuelewa. Si unajua mara ya kwanza lazima ukaze.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Hahah kweli aisee,hata hio ndege itakayowabeba hao wanaigeria ijiandae kuvibeba.Labda iwe imevaa mask. Otherwise itaondoka na virusi
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Ndio maana chair kasema relax upate maelekezo na kufikia hatua ya kumaliza tatizo lako. Please be patient.We umeshawahi fanya jambo lolote bila maelekezo?
Kwa hio ulikua unasubiri maelekezo sio mkuu?We umeshawahi fanya jambo lolote bila maelekezo?
Karibu mkuu,kuna silaha za kibaiologia ni wewe kuchagua tu mkuu
Gobole naona ndio litaafaa kutokanana maadui wa muda huuUnahitaji mundu au gobole?
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Mpe ile innovation ya inzi bila shaka atakuwa mjumbe bora na mtiifu.We umeshawahi fanya jambo lolote bila maelekezo?
Chair ndio anakupa maelekezo hivyo relax kama vile maumivu ya kichwa huanza polepole.We umeshawahi fanya jambo lolote bila maelekezo?
Nina amini kila mwafrika ana Corona ila hatujapima tu kwa ubishi wa afya zetu.Hahah kweli aisee,hata hio ndege itakayowabeba hao wanaigeria ijiandae kuvibeba.
Ile sitaki natakaHahah atakimbia jukwaa hili kwa hio comment yako.