Bangsweezy
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 880
- 202
Wananiboa wengine utakuta mtu comment yake inaonyesha saa sita na nusu mchana, wakati kaambiwa uzi ni wa usiku wa manane..!!
Wananiboa wengine utakuta mtu comment yake inaonyesha saa sita na nusu mchana, wakati kaambiwa uzi ni wa usiku wa manane..!!
Hili nalo neno... Hivi kama mtu yupo nchi nyingine nje ya Tanzania na hatufanani masaa, muda unawekwa unakuwa wa nchi gani? Yeye ataona sms ina muda upi? Kama wetu au sisi kama wao aua kila mtu na kwake?😂😂😂 Labda yuko nchi ambazo majira yao ni ya usiku kwa muda huo
Hongera sana..Closed. Nimelinda peke yangu Leo
MweeeeHongera sana..
HahahahaClosed. Nimelinda peke yangu Leo
HahahahaHongera sana..
Fm Pub💪💪💪💪