Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Upo vizuri sanaSeason1 ndo ilikua nzuri na 2 kuanzia 3 midosho tu kawaida sana
Na yes nmeona season 3 hii ya leo bdo sijaangalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo vizuri sanaSeason1 ndo ilikua nzuri na 2 kuanzia 3 midosho tu kawaida sana
Na yes nmeona season 3 hii ya leo bdo sijaangalia
Zko poa. Naona mko shift
Mzee inabidi ujipende hata kidogo weka weka hata jina zuri kidogo![]()
Kawaida mkuu

huoni mwananchi hapo kajiita ZurriYaani ahadi ni deni kweli.
Sijasahau tuombe Mungu tumalizane na hii Pandemic salama.


Amen, naamini Mungu atatupiganiaKwa sababu una kale kaujuzi nina imani utatengeneza ya pipa zimaSaiz ikiwezekana tuwe tunaongea kabisabadala ya maji.
Tunaishi mara moja tu na hatujui kama kuna second chance

Wapi saiz ww na joto leo hakuna?Mbaki salama. macho yamegoma
Shukrani..hope kila kitu kimekaa poa pande hizo
Kavu kivip bruhsasa mm nahusikaje hapo ila we dude ni kavu sana ujue![]()




Ile mikakati uliokuwa unapanga naye kule imeishia wapi kwani?Em tulia Gody.. miungu hailaliMbaki salama. macho yamegoma

Mm si nananii tu hakafu nakausha

sawa bhana.. angalia ukinaniii usininanii maanaAah wapi sina hata muda wakutengeneza mm kuna mahali nachukua tu.
Jina ni jina tu hata liwe km langu