Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
kwa huyo mtoto hta ningeona upaja tuh ningemjua![]()
Kweli umemuelewa huyu mchumba kila mtu na crush wake kwa kweli.kwa huyo mtoto hta ningeona upaja tuh ningemjua![]()
Kweli umemuelewa huyu mchumba kila mtu na crush wake kwa kweli.hahahah yuko real sana huyo manziKweli umemuelewa huyu mchumba kila mtu na crush wake kwa kweli.
Huyu mchumba ni gold digger mzee hafai kabisa.hahahah yuko real sana huyo manzi
hahahah kumbe unamjua vizuriHuyu mchumba ni gold digger mzee hafai kabisa.
m niko kwa huku nyumaInasikitisha kuona walinzi wamelala fofofo.
Walinzi fofofo, wazinzi ngo ngo ngoInasikitisha kuona walinzi wamelala fofofo.
Wadau nipo chumba cha jirani yangu ambae ni mlinzi nimekuja kumsaidia kazi flan hivi kwa mke wake maombi yenu tafadhali nategemea kuimaliza alfajiri