Mwenye dawa ya usingizi naomba anisaidie
Ndo nitaupata?
Kapua kwa muda wa dk 2 bila kupumzika
sawa ngoja nijaribu.Fikiria majina yote na uyataje kimoyo kimoyo kwa kuanza na yanayoanza na A, the B, C, D ..., kabla hujafika D utakuwa umeshapata usingizi.
sawa ngoja nijaribu.
Hahahaa yani bado unayo tu nikajua yameisha!Ila iyo avatar siyo powa, natamani kuinunua usiitumie.
Dah...Leo biashara siyo nzuri kabisa

Unafanyaga biashara usiku wote huu?Dah...Leo biashara siyo nzuri kabisa
Sent using Beretta ARX 160
Hahahaa yani bado unayo tu nikajua yameisha!
KijanaMzeee
Mlinzi mkuu