JamiiForums Usiku wa manane
Kesheni makamanda,kuna usemi nilisikia kwa wazee wakisema,kuanzia mida ya saa 6 usiku mpaka saa 11 huwa ni mida za watu wenye maradhi mbalimbali kwenda mbinguni. Kutokana na hali hiyo nakesha mpaka asubuhi
 
Back
Top Bottom