Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,692
- 14,484
Usikimbie rudi tuu, sio lazma mkojo utapimwa akiliOhoooh mimi kwakweli tokea mwaka jana sijanywa maji kwaiyo sina mkojo wa kupima![]()
![]()
![]()
![]()



Usikimbie rudi tuu, sio lazma mkojo utapimwa akiliOhoooh mimi kwakweli tokea mwaka jana sijanywa maji kwaiyo sina mkojo wa kupima![]()
![]()
![]()
![]()



Hahahaha, sasa wataniambia nitoe nini ili watumie kupima hiyo akiliUsikimbie rudi tuu, sio lazma mkojo utapimwa akili![]()

Hahaha nafanya mazoezi ya kufukuza usingiziNn sasa unatoa macho hivyo?

I can't you![]()
![]()
Ungejua hata huo utata sina nausikiaga tu redioni.
Nikiwa mkubwa wakati huo naitwa mhenga ndo nitatunga, saivi me bado kinda kabisa wacha nijifunze irabu na misamiati ya kutosha.![]()
![]()
Vaa headphones mkuu angalau ipungue kidogombona kama naanza kusikia njaa

CHAPUTA lazima ihusike hapo..Teh! ni usiku mwingine tena...leo nimeamua kuangalia x_movies nadhani sitalala!
Vaa headphones mkuu angalau ipungue kidogo![]()
![]()
Nakukumbusha tu..ufue mashuka asubuhiHamna kitu kinaniboa kama ndoto ya kumngengeda mtu.ndotoni,,inautamu wake unapoiota balaa lake sasa ukishashtuka,,,Daaahh
Inahusu nini hiyo ndoto?Mwenzenu nimeota ndoto mbaya mpaka naogopa kulala
poleee mpendwaMwenzenu nimeota ndoto mbaya mpaka naogopa kulala
hahaha itakua ilikua mipasho aua michambo kabisa!😵😵😵😵😵 Kwahiyo walikuwa wakibishana tu, basi kila mmoja anaandika msemo wake?