Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Anatuchonganisha huyu ujue Goddessgoddess wewe sio wa kunifanyia hivi..najua kashatumia FIX zake KukuFIX PM
Anatuchonganisha huyu ujue Goddessgoddess wewe sio wa kunifanyia hivi..najua kashatumia FIX zake KukuFIX PM
Kweli moyo wangu upo at easy now maana villa yupo njemaMy PM is clean dear mm najua villain ni hatar kwa fix ila hajanifix
Kwani wewe ndio muhusika wa ile action babu?



Hapana ila mkua wa mkoa alishatoaga onyo mapema sana.Kwa sababu Goddess kathibitisha pasina shaka kuwa Super Villain ni mzee wa fix aliyebobea, basi nimeamua kunyuti tu.Hapo usichukulie poa..komaa nae huyu hadi kieleweke
My PM is clean dear mm najua villain ni hatar kwa fix ila hajanifix




Usiwasikilize hawa wavulagizi ujue.Huyu jamaa kumbe anafahamuka kwa fix. Duh! Afadhali sasa nimejua



ana use sweet words ila hakosi defence mechanismWewe woga wako ndio umaskini wako. WhatsApp siku zote hainaga madhara labda ufanye kama walivyofanya wale jamaa.Hapana ila mkua wa mkoa alishatoaga onyo mapema sana.
Hapo usichukulie poa..komaa nae huyu hadi kieleweke


yy anajua kazi ilivyo kuwa ngumuww utakua na chembe za utapeli
Maana kila kitu ni ww tu

anaelewa nini anafanya ndo maana alitumia telegramUnajulikana sana mzee babaUsiwasikilize hawa wavulagizi ujue.
Hakuna ugumu wowote. Woga wako ndio umefanya kazi iwe ngumu. Full visingizio.yy anajua kazi ilivyo kuwa ngumu
Tupo mr... karibu hili lindo na hakikisha upo mbali na ule mchepuko daraja la kwanza maana utakimbia lindolindo halina watu,shida ni nini?
Alafu nashangaa haya malalamiko ni hawa watu wa 2 tuww utakua na chembe za utapeli
Maana kila kitu ni ww tu


hii vita ilianza toka jana ujue.Hahaha msameheni tu bwanaKweli moyo wangu upo at easy now maana villa yupo njema

Yupo smart hataki kuacha alama yoyote pale anapoharibuanaelewa nini anafanya ndo maana alitumia telegram