Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Usimsikilize huyu mchonganishi anataka kutuvuruga tudamn huyu ni wakupiga wallah
mm na ww hatuwezi gombana kwanza.Usimsikilize huyu mchonganishi anataka kutuvuruga tudamn huyu ni wakupiga wallah
mm na ww hatuwezi gombana kwanza.Usimchukulie simple mzee wa latinasAone nn huyo ataona mauzauza hapa.

Haha ss hii ingine ni yako changanya miguu ili adolishiwe na yeyekabssa ili siku ingine asinitoe udenda wa buree
Kwendraa hutaki vinono wwBasi nimeghahili.
Embu naomba huo ushahidi pleaseTena katoka tu huko akapiga na picha kunidorishia pm na caption ya "kupendwa raha" hadi nkasema nimemkosea nini Mungu mm![]()
dah ujue we na mwenzio mnacho nifanyia siku hizi mbili dah.Siku ingine utaacha kuniumiza roho na zile picha PMUsimsikilize huyu mchonganishi anataka kutuvuruga tumm na ww hatuwezi gombana kwanza.

Aww ni nani kwani huyo anayezungumziwa hapaGoddess huyu hukumpa hiyo kitu na km ulimpa nilijuaje km hakunidorishia pm
Tena si ulisema ni nzito nzito yaani kitu flani amazing cha kulia kitu special.. sio ww![]()

Asubiri maajabuHaha ss hii ingine ni yako changanya miguu ili adolishiwe na yeye

Super Villain usijifanye hujaonaEmbu naomba huo ushahidi pleasedah ujue we na mwenzio mnacho nifanyia siku hizi mbili dah.



tulèeeaaaNi afadhali nikamwamini huyu kuliko wewe jombaaUnafanya Kosa kubwa sana kumuamini huyo hujui tu.
Jitie uchizi tuAww ni nani kwani huyo anayezungumziwa hapa![]()
Dah yani unatumia rungu kuua sisimizi mzee

Anataka uchafuke kama yeye alivyochafuka halafu kujisafisha hawezi. Kwa hiyo anataka iwe kifo cha wengi kama ItalyWewe jamaa mbona unataka kunichafulia CV![]()

ss mm naaminije kama ni uongo au ukweli jaman