Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Bhana we tutafute hela na ss tue undefeated ndio kilichobaki tu.Sio poa mzee ila hiyo kitu ni hatari af lile eneo limezungukwa na vitu vingi... ikilipuka ni shida
Bhana we tutafute hela na ss tue undefeated ndio kilichobaki tu.Sio poa mzee ila hiyo kitu ni hatari af lile eneo limezungukwa na vitu vingi... ikilipuka ni shida
Jana mmenikaanga sana leo nakaa kijanja hauko vzr lakini uliacha moshi moto ulikuwa bado kidogo uwakekwani mkuu inbobo si nilikuambia kuwa sipo fresh.. hata leo sijaenda kucheki hivyo nipo kwa neema ya Mungu "ROLE MODEL"
![]()

Ana sababu zake mkuu na humu jf ishaanza kuwa kawaida.. kama ni mtu mnaefahamiana zama PM akupe storee zaidi

Hilo ROLE MODEL lifute mzee wangu bado sijafika hizo level ujue ndio kwanza bado nipo kuruti ujuekwani mkuu inbobo si nilikuambia kuwa sipo fresh.. hata leo sijaenda kucheki hivyo nipo kwa neema ya Mungu "ROLE MODEL"
![]()




Mimi si ndo nimekupa.. nafuata nyayo zako sana ila hapo kwenye sound ndo staki kuigaHilo ROLE MODEL lifute mzee wangu bado sijafika hizo level ujue ndio kwanza bado nipo kuruti ujue![]()

Jana mmenikaanga sana leo nakaa kijanja hauko vzr lakini uliacha moshi moto ulikuwa bado kidogo uwake![]()


mimi nilikua nachat tu.. ungezama pm mapema kunipa tahadhari ..pole sana ila uwe unasemaSio kwa huyu msukumaBhana we tutafute hela na ss tue undefeated ndio kilichobaki tu.


Mimi si ndo nimekupa.. nafuata nyayo zako sana ila hapo kwenye sound ndo staki kuiga![]()



sound nazitolea wapi mm achana na Drizzle mvulagizi huyo anakupanga tu.mimi nilikua nachat tu.. ungezama pm mapema kunipa tahadhari ..pole sana ila uwe unasema



Payback yako ipo tulia tu utaona maajabu soon.Nakufananisha na jombaa flani.. akilewa anapata good mood yaani akikuhaidi kitu andika maumivu maana next day hakumbuki chochote
Aisee, nadhani hapo ulipo utakua una enjoy na weekend hii hatari mkuu
Payback iwe soft sasa maana nakujua unapenda league kuliko kulaPayback yako ipo tulia tu utaona maajabu soon.
Ubunifu, uvumbuzi unatakiwa pale unapoona mambo haya endi bila hivyo utakufa kizungu na tai shingoni.Sio kwa huyu msukuma![]()
True mkuu ila sasa life lenyewe hili kuna vitu nyingi sana. Sometimes ni zile huez solve alone hivyo inabd upigie goti watu flaniUbunifu, uvumbuzi unatakiwa pale unapoona mambo haya endi bila hivyo utakufa kizungu na tai shingoni.
Nakufananisha na jombaa flani.. akilewa anapata good mood yaani akikuhaidi kitu andika maumivu maana next day hakumbuki chochote











Naomba uolodheshe zile promise zote nilizokuahidi alafu leta nimalizane nazo mapema kabla ya Pasaka.Im great ..bado upo milimani au ushatoka