Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,059
Bhana we tutafute hela na ss tue undefeated ndio kilichobaki tu.Sio poa mzee ila hiyo kitu ni hatari af lile eneo limezungukwa na vitu vingi... ikilipuka ni shida
Bhana we tutafute hela na ss tue undefeated ndio kilichobaki tu.Sio poa mzee ila hiyo kitu ni hatari af lile eneo limezungukwa na vitu vingi... ikilipuka ni shida
Jana mmenikaanga sana leo nakaa kijanja hauko vzr lakini uliacha moshi moto ulikuwa bado kidogo uwake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mkuu inbobo si nilikuambia kuwa sipo fresh.. hata leo sijaenda kucheki hivyo nipo kwa neema ya Mungu "ROLE MODEL"[emoji16][emoji16]
[emoji817]Ana sababu zake mkuu na humu jf ishaanza kuwa kawaida.. kama ni mtu mnaefahamiana zama PM akupe storee zaidi
Hilo ROLE MODEL lifute mzee wangu bado sijafika hizo level ujue ndio kwanza bado nipo kuruti ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mkuu inbobo si nilikuambia kuwa sipo fresh.. hata leo sijaenda kucheki hivyo nipo kwa neema ya Mungu "ROLE MODEL"[emoji16][emoji16]
Mimi si ndo nimekupa.. nafuata nyayo zako sana ila hapo kwenye sound ndo staki kuiga [emoji4]Hilo ROLE MODEL lifute mzee wangu bado sijafika hizo level ujue ndio kwanza bado nipo kuruti ujue [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nilikua nachat tu.. ungezama pm mapema kunipa tahadhari ..pole sana ila uwe unasemaJana mmenikaanga sana leo nakaa kijanja hauko vzr lakini uliacha moshi moto ulikuwa bado kidogo uwake [emoji23]
Sio kwa huyu msukuma [emoji4][emoji4]Bhana we tutafute hela na ss tue undefeated ndio kilichobaki tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sound nazitolea wapi mm achana na Drizzle mvulagizi huyo anakupanga tu.Mimi si ndo nimekupa.. nafuata nyayo zako sana ila hapo kwenye sound ndo staki kuiga [emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Payback yako ipo tulia tu utaona maajabu soon.[emoji23][emoji23][emoji23] mimi nilikua nachat tu.. ungezama pm mapema kunipa tahadhari ..pole sana ila uwe unasema
Aisee, nadhani hapo ulipo utakua una enjoy na weekend hii hatari mkuuSa sijui nikagongee nyagi...eeehhh..au nikagongee veveee[emoji445][emoji445][emoji445]
Sent using Jamii Forums mobile app
Payback iwe soft sasa maana nakujua unapenda league kuliko kula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Payback yako ipo tulia tu utaona maajabu soon.
Ubunifu, uvumbuzi unatakiwa pale unapoona mambo haya endi bila hivyo utakufa kizungu na tai shingoni.Sio kwa huyu msukuma [emoji4][emoji4]
Rory .. how is the millitary Un [emoji4][emoji4][emoji4]
True mkuu ila sasa life lenyewe hili kuna vitu nyingi sana. Sometimes ni zile huez solve alone hivyo inabd upigie goti watu flaniUbunifu, uvumbuzi unatakiwa pale unapoona mambo haya endi bila hivyo utakufa kizungu na tai shingoni.
Hahaha ngumu tuhRory .. how is the millitary Un [emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Naomba uolodheshe zile promise zote nilizokuahidi alafu leta nimalizane nazo mapema kabla ya Pasaka.Nakufananisha na jombaa flani.. akilewa anapata good mood yaani akikuhaidi kitu andika maumivu maana next day hakumbuki chochote
Im great ..bado upo milimani au ushatoka