Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Gud to hommie.
Gud to hommie.
Kwahiyo saiz hata zile romance kiss hazipigiki kwayule kichuna?Tumepigwa lockdown no travels. Ukisafiri ukirudi unapigwa quarantine 14 days. Ila natamani sana nirudi nikae hata 2 weeks.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajitena kula epe siku hizi?Sizani kama wanamuda hata wakuingia humu saiz.Tulioko Mlimani City kwa Harmonize tusalimiane.
Sizani kama wanamuda hata wakuingia humu saiz.
Hahaha, kama ukumbini huna unayemjua unajikuta inabidi ujumuike na JF tu, bia zenyewe bei sana humu.
Halafu dogo niliyekuja naye anajifanya yuko busy kucheza.

Wasafi TV wamegoma kuonesha niko nimeswitch TV E sina tofauti na mtu aliekuepo Mlimani City anachokiona na mm naona vile vile tu.Wasafi TV wamegoma kuonesha niko nimeswitch TV E sina tofauti na mtu aliekuepo Mlimani City anachokiona na mm naona vile vile tu.
Kwahiyo uko chini ya ulinzi hapo ulipo?Mkuu kuna warembo humu, usicheze kabisa. Maana muda wote nachungwa nisigeuke geuke.


Ungepigwa na ile radi ingekuaje
Ungepigwa na ile radi ingekuaje

Acha uchawi sema next time nakuja na Lita 5 au unasemaje?Poa vp ww?
Acha ufala ww nitakuuaAcha uchawi sema next time nakuja na Lita 5 au unasemaje?




Mrembo wetu vo mafuriko huko yaliisha?!
Poa vp ww?
Kamvua kapo huku nilipo tunatamani mvua inyeshe mazao yakue , hatukuwa affected na mafuriko .Mrembo wetu vo mafuriko huko yaliisha?!
Ahaaa yakikua tupeane msaada wa mahindi mabichiKamvua kapo huku nilipo tunatamani mvua inyeshe mazao yakue , hatukuwa affected na mafuriko .

🤦 Haha ngoja nijifunze hata kulima hukuAhaaa yakikua tupeane msaada wa mahindi mabichi![]()