JamiiForums Usiku wa manane
Hahaha, kama ukumbini huna unayemjua unajikuta inabidi ujumuike na JF tu, bia zenyewe bei sana humu.

Halafu dogo niliyekuja naye anajifanya yuko busy kucheza.
Wasafi TV wamegoma kuonesha niko nimeswitch TV E sina tofauti na mtu aliekuepo Mlimani City anachokiona na mm naona vile vile tu.
 
Back
Top Bottom