Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Mzee wangu hii covid ni kisanga kweli yaan vp unarudi nyumbani kumenoga au utapambana tu na hawa virus?
Mzee wangu hii covid ni kisanga kweli yaan vp unarudi nyumbani kumenoga au utapambana tu na hawa virus?

hakuna kitu kama hicho.hakuna kitu kama hicho.
kwahiyo unakuwa double infected au?Dah alafu nilikusahau kukutag kuna mwananchi leo alifungua uzi wa mabachelor akawa ametoa offer ya mchumba kwa bachelor yeyote nazani ingekufaa sana hii offer Chibudee
Ulitakiwa kwanza mali uione labda ungeweza ridhika nayo?Wanawake wa Kutafutiwa sio kweli niliuona nikapita Bila Kujali Mataa Nikavunja Na Sheria barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app

Ulitakiwa kwanza mali uione labda ungeweza ridhika nayo?



dah huwa siamini kama hao watu unaowasema wapo bado!mambo gal?
dah huwa siamini kama hao watu unaowasema wapo bado!
Aah wapi karne hii ukichukua namba tu ukituma na buku 2 ya maongezi unatongozwa na mchumba mwenyewe kesho kutwa unatoa misimbazi kadhaa mnatafutana kazi imekwisha kila mtu anakufa kivyake.
Vp boi?Yooo! Mr Harden is here once again.
It's 18:48 PM
Aah wapi karne hii ukichukua namba tu ukituma na buku 2 ya maongezi unatongozwa na mchumba mwenyewe kesho kutwa unatoa misimbazi kadhaa mnatafutana kazi imekwisha kila mtu anakufa kivyake.
Kama kawa mwamba, habari za mashiku (kisukuma)Vp boi?
Basi wewe hujui Kumbe kuna Mawakiii Kama wote jombiii Anatuma hio Ten ana tongozwa na Papuchi na Bado Anashindwa jiongeza
Anabaki kucheka cheka Kikuda
Sent using Jamii Forums mobile app



huyo basi anaweza hata akaonga mpaka million ikifika ndio atapewa.Gud tu babu.Kama kawa mwamba, habari za mashiku (kisukuma)