JamiiForums Usiku wa manane
Wakuu nimefanya tafiti nimegundua nikilala kwangua kuanzia SAA Tisa usingizi unakata ..nikiwa tofauti na kwangu usingizi nauchapa vizuri mpaka panakucha ..hakuna usingizi kukata...

Hii imekaaje?au ndio nimeizoesha akili ?napambanaje na hii hali ?suluhisho nimeona ni kuhama nyumba kodi ikiisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Hamia madale.
Wakuu nimefanya tafiti nimegundua nikilala kwangua kuanzia SAA Tisa usingizi unakata ..nikiwa tofauti na kwangu usingizi nauchapa vizuri mpaka panakucha ..hakuna usingizi kukata...

Hii imekaaje?au ndio nimeizoesha akili ?napambanaje na hii hali ?suluhisho nimeona ni kuhama nyumba kodi ikiisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom