Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,286
- 18,548
03:48
Wakuu nimefanya tafiti nimegundua nikilala kwangua kuanzia SAA Tisa usingizi unakata ..nikiwa tofauti na kwangu usingizi nauchapa vizuri mpaka panakucha ..hakuna usingizi kukata...
Hii imekaaje?au ndio nimeizoesha akili ?napambanaje na hii hali ?suluhisho nimeona ni kuhama nyumba kodi ikiisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulijua nishasombwa na mafuriko?
Nipo nimejaa tele kama pishi la mchele. (I miss you)
Sent using Jamii Forums mobile app






Madale kubwa jirani mtarajiwa..nielekeze vizuri ili tusikae mbali baada ya kuhamia huko
offer hii wadada wachangamkie fulsa lakini huwezi kupata nazini kama tangazo umelikosea vile kuliweka.Wadau nitakuwa dom kikazi for a week kuanzia kesho. Kama kuna campan ya mdada please njoo pm
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio inakushinda bossWalinzi kazi ishaanza kuwashinda siku hizi.
COVID-19 ikupate mwenyeweUsiku wa Manane×3 Mapopo Huchat Usiku wamanane / Ma Bachelor Huchati/Usiku wamanane /wanga Hu wanga Usiku wa Manane
Wausiku wamanane Nawasalimu Kwajina La Corona
Sent using Jamii Forums mobile app


. Inakuwaje we jamaa?
vp kwanza kwema huko kwenu?
nilikuwa naongea na Mungu muda huu.nilikuwa naongea na Mungu muda huu.