Hilo jambo la uzushi katika hii dini yetu, kwahiyo ukiwaona watu wanapoteza muda katila hilo, jambo kama ni mtu wa imani unatakiwa kuwaonea huruma na kuwaombea uongofu kwa Mola wao, sababu hawalipwi zaidi ya kupoteza muda na kama wanajua wanachokifanya kwamba hakifai basi wanapata madhambi.Wewe hujaalikwa maulid? Maana jamaa zako hapa wana maulid wamenifanya niwe mlinzi wa kujitolea leo.
Ila si mbaya mcha
Wewe hujaalikwa maulid? Maana jamaa zako hapa wanakesha wamenifanya niwe mlinzi wa kujitolea leo.


