Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,577
- 5,780
Ndiyo mkuu, sina sehemu nyingine ya kuangaliziaUlicheki mechi maeneo ya terminal au

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mkuu, sina sehemu nyingine ya kuangaliziaUlicheki mechi maeneo ya terminal au




Hahaaaa aa wapi sio fan wa liverkuku mimi, nilienda kuangalia anavyotolewa nishai.kumbe ni fan wa Liverpool ww kalale tu maana mmetamba sana.
Hukutoa hata taarifa..ngoja nilale,kesho naamka na risala ndefu pm![]()





Chama lako lipi ww Arsenal?Hahaaaa aa wapi sio fan wa liverkuku mimi, nilienda kuangalia anavyotolewa nishai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana pia, leo nimeponea chupu chupu kufungwa nimeishia kuchonga droo.Chama lako lipi ww Arsenal?
Hapana pia, leo nimeponea chupu chupu kufungwa nimeishia kuchonga droo.
Sent using Jamii Forums mobile app


niliangalia game la blues saa 1800 ilikuwa ngumu kumeza bado kidogo itoke.Nawe pia hommie.
Usiku bado mchanga ila popoz tulioshindwa kazi tulale tu
Amen01:08 Kumtegemea MUNGU ni jambo jema. Nawatikieni maandalizi mema ya Ibada kesho kwa wale walutheri, RC, EAGT, Fellowship Bible Church, AICT na wengine wote.
Peace Out![]()
Mabinti Leo hawapo, lindo wamrmwachia nani? Atakayejiyokeza APM nimpe 10000 yq vocha