Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Mtt wakizungu anakukeep busy sana siku hizi.
Mtt wakizungu anakukeep busy sana siku hizi.
Hata mi nimeshtuka
Beggars can't be choosers

hamna kitu humo ni laana tu hapo.Hapa usingizi ndo unaelekea kileleniKumekucha sasa.
Kileleni unapajua ww?Hapa usingizi ndo unaelekea kileleni
Kileleni unapajua ww?



mzee ushaanza maswali tata...hapana mm nimeuliza tu maana kuna nyimbo ya Hip Hop hapa nasikilizamzee ushaanza maswali tata...
Ila nakijua yeap





Huyo rapper alikosa mistarihapana mm nimeuliza tu maana kuna nyimbo ya Hip Hop hapa nasikiliza hapa
Mwana anasema maisha safari isiyo na traffic, sasa wanaofika kileleni gari huwa wanapandia wapi?
![]()



wapi saiz we mzee?
Sisi kama Watford tunaruhusiwa kupumzika sasa baada ya shughuli ngumu ya kumnyonyoa jogoo kishingo.Usiku bado mchanga ila popoz tulioshindwa kazi tulale tu
Wewe jombaa... ngoja nilale maana nna lawama zako za wese
Ulicheki mechi maeneo ya terminal auSisi kama Watford tunaruhusiwa kupumzika sasa baada ya shughuli ngumu ya kumnyonyoa jogoo kishingo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo rapper alikosa mistari
Vilele vinafikika kwa vitu asili kama miguu tu. Magari hayaez


ngoja nikutumie link hiyo nyimbo uipakue inamistari ya utata sana lazima ucheke utake usitake ni lazima.Wewe jombaa... ngoja nilale maana nna lawama zako za wese





kumbe ni fan wa Liverpool ww kalale tu maana mmetamba sana.Sawa famngoja nikutumie link hiyo nyimbo uipakue inamistari ya utata sana lazima ucheke utake usitake ni lazima.
Pole sana
Hukutoa hata taarifa..ngoja nilale,kesho naamka na risala ndefu pm
