JamiiForums Usiku wa manane
mzee ushaanza maswali tata...
Ila nakijua yeap
hapana mm nimeuliza tu maana kuna nyimbo ya Hip Hop hapa nasikiliza

Mwana anasema maisha ni safari isiyo na traffic, sasa wanaofika kileleni gari huwa wanapandia wapi?

 
hapana mm nimeuliza tu maana kuna nyimbo ya Hip Hop hapa nasikiliza hapa

Mwana anasema maisha safari isiyo na traffic, sasa wanaofika kileleni gari huwa wanapandia wapi?

Huyo rapper alikosa mistari

Vilele vinafikika kwa vitu asili kama miguu tu. Magari hayaez
 
Back
Top Bottom